ATIMAE TPA WAMNASA MWIZI SUGU WA MAFUTA


Askari wa TPA wakishirikiana na Jeshi la Polisi Tanzania wanamshikilia Samwel Nzagi Kilang'ani mwenye umri wa miaka 63 kwa tuhuma ya kutoboa Bomba la mafuta ya Dizeli la "SPM" mali ya TPA na kuunganishia bomba hadi nyumbani kwake kwenye mantaki makubwa ambayo ameyachimbia chini. 



Comments